Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mama Kikwete afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mama Kikwete afariki dunia

Nuru Khalfan Kikwete, mama mlezi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spread the love

NURU Khalfan Kikwete, mama mlezi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefariki dunia mapema hii leo, anaandika Pendo Omary.

Bi. Nuru amefariki mapema leo asubuhi katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa akisumbuliwa na maradhi yanayohusiana na uzee.

Taarifa ya kufariki kwa mlezi huyo wa Dk. Kikwete imetolewa na Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambye pia ni mtoto mkubwa wa rais huyo mstaafu.

Ridhiwani ameandika katika ukurasa wake wa Facebook na Twitter , “Tanzia ndugu na marafiki. Nasikitika kuwatangazia msiba/kifo cha bibi yetu Bi. Nuru Khalfan.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!