Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Mama Kikwete afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mama Kikwete afariki dunia

Nuru Khalfan Kikwete, mama mlezi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spread the love

NURU Khalfan Kikwete, mama mlezi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefariki dunia mapema hii leo, anaandika Pendo Omary.

Bi. Nuru amefariki mapema leo asubuhi katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa akisumbuliwa na maradhi yanayohusiana na uzee.

Taarifa ya kufariki kwa mlezi huyo wa Dk. Kikwete imetolewa na Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambye pia ni mtoto mkubwa wa rais huyo mstaafu.

Ridhiwani ameandika katika ukurasa wake wa Facebook na Twitter , “Tanzia ndugu na marafiki. Nasikitika kuwatangazia msiba/kifo cha bibi yetu Bi. Nuru Khalfan.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mchina wa SGR aburuzwa kortini kwa kumjeruhi Mtanzania, TRC waja juu

Spread the love  RAIA wa China, Zheng Yuan Feng, amefikishwa mahakamani kwa...

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

Spread the love  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

Spread the love  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

Spread the loveBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni...

error: Content is protected !!