Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa 169 udiwani CCM wapeta Kilimanjaro
Habari za Siasa

169 udiwani CCM wapeta Kilimanjaro

Spread the love

WAGOMBEA udiwani 169 kati ya 1145 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioomba kuteuliwa kugombea udiwani kupitia chama hicho mkoani Kilimanjaro, wamepitishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Moshi … (endelea).

Majina ya madiwani hao yametangaza rasmi jana tarehe 17 Agosti 2020 na Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Jonathan Mabihya wakati akizungumza na vyombo vya habari mkoani humo baada ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa.

”Wagombea hawa 169 ndio waliopendekezwa na kuteuliwa na kikao cha Halmashauri Kuu kwa ajili ya kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,” amesema na kuongeza:

”Ni dhahiri kuwa, mchakato wetu wa kikatiba na kikanuni uliendelea baada ya kura za maoni kupigwa. Vikao vya uchujaji  na utoaji mapendekezo viliendelea ambapo kamati zote za siasa kuanzia kata hadi mkoa zilikaa na kutoa maoni na mapendekezo yake.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

error: Content is protected !!