Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Odinga pasua kichwa Kenya, agoma kushiriki uchaguzi marudio
Makala & Uchambuzi

Odinga pasua kichwa Kenya, agoma kushiriki uchaguzi marudio

Raila Odinga, Waziri Mkuu Mstaafu na Kiongozi Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Upinzani nchini Kenya (CORD)
Spread the love

KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametangaza kuwa hayuko tayari kushiriki marudio ya uchaguzi mkuu wa urais nchini humo.abla ya kufanyika uchaguzi, anaandika Mwandishi  wetu.

Odinga amesema kuwa anataka kuwepo mikakati ya kisheria na kikatiba inayohitajika, kabla ya yeye kukubali kushiriki uchaguzi huo.

Amesema anataka Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), kufanyiwa marekebisho kabla ya uchaguzi nchini humo.

Jana Jumatatu Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini Kenya ilitangaza kwamba uchaguzi mpya wa urais nchini humo utafanyika tarehe 17 Oktoba.

Mwenyekiti wa tume hiyo, Wafula Chebukati alisema uchaguzi huo utashirikisha wagombea wawili pekee wa urais, Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu mstaafu Raila Odinga.

“Hakutakuwa na uteuzi mpya wa wagombea wa urais katika uchaguzi huo upya. waliopinga matokeo ya uchaguzi kortini, Raila Odinga na mgombea mwenza wake Stephen Kalonzo Musyoka na mshtakiwa wa tatu Rais Uhuru Kenyatta na mgombea mwenza wake, William Samoei Ruto, watakuwa ndiyo wagombea pekee,” alisema

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMakala & Uchambuzi

Kanda ya Ziwa yaonyesha NMB inavyosaidia afya ya mama na mtoto

Spread the loveMafanikio inayozidi kupata Tanzania katika kupunguza vifo vya mama na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

‘Mwanapekee’ wa Rais Samia: Atabadili nini Arusha?

Spread the loveMAPEMA wiki hii, baadhi ya viongozi walioapishwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

Spread the loveWATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu,...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Tusichonganishwe; tusichokozane na tusikufuru

Spread the loveJOTO la chaguzi linapanda kila siku hapa nchini. Upo umuhimu...

error: Content is protected !!