Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kabudi, Kigwangala wateta na balozi wa Uingereza
Habari za Siasa

Kabudi, Kigwangala wateta na balozi wa Uingereza

Spread the love

WAZIRI wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangala wamekutana na Balozi wa Uingereza Nchini, Sarah Cooke kuongelea masuala mbalimbali yanayohusu utunzaji wa wanyamapori na vita dhidi ya biashara haramu ya wanyamapori. Anaripoti Khalifa Abdallah … (endelea).

Waheshimiwa Mawaziri na Balozi pia wameongelea kuhusu mkutano wa utunzaji wa wanyamapori na udhibiti wa biashara ya wanyamapori ulioandaliwa na Serikali ya Uingereza na unaotarajiwa kufanyika wiki hii jijini London.

Aidha, Balozi Cooke ametumia nafasi hiyo kuishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuwezesha ziara ya Mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William iliyofanyika hapa nchini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!