Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Chadema wazidi kuwagaragaza CCM mahakamani
Habari za SiasaTangulizi

Chadema wazidi kuwagaragaza CCM mahakamani

Bilago Kasuku, Mbunge wa Jimbo la Buyungu. Picha ndogo ni Christopher Shiza
Spread the love

MAHAKAMA ya Rufani ya Tanzania muda mfupi uliopita imefuta rufaa dhidi ya Bilago Kasuku, Mbunge wa Jimbo la Buyungu (Chadema), anaandika Mwandishi Wetu.

Rufaa hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Christopher Chiza, baada ya kumshinda katika Mahakama Kuu mwaka jana.

Kwa ushindi huo wa leo imebaki sasa rufaa yetu dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu kumvua ubunge Mbunge wa Longido, Onesmo ole Nangole. Rufaa yake itasikilizwa Agosti 14, mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia: Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwendokasi Kigogo – Segerea kujengwa awamu ya 5

Spread the loveNaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Festo Dugange...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

error: Content is protected !!