Friday , 2 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Chadema wazidi kuwagaragaza CCM mahakamani
Habari za SiasaTangulizi

Chadema wazidi kuwagaragaza CCM mahakamani

Bilago Kasuku, Mbunge wa Jimbo la Buyungu. Picha ndogo ni Christopher Shiza
Spread the love

MAHAKAMA ya Rufani ya Tanzania muda mfupi uliopita imefuta rufaa dhidi ya Bilago Kasuku, Mbunge wa Jimbo la Buyungu (Chadema), anaandika Mwandishi Wetu.

Rufaa hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Christopher Chiza, baada ya kumshinda katika Mahakama Kuu mwaka jana.

Kwa ushindi huo wa leo imebaki sasa rufaa yetu dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu kumvua ubunge Mbunge wa Longido, Onesmo ole Nangole. Rufaa yake itasikilizwa Agosti 14, mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

Spread the love  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi azindua Kamati ya Maridhiano Visiwani

Spread the love  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein...

error: Content is protected !!