Saturday , 27 April 2024

Day: October 4, 2019

Habari Mchanganyiko

‘Tatizo la mdomo wazi linatibiwa bure CCBRT’

WAZAZI wenye watoto waliozaliwa na tatizo la mdomo wazi (Mdomo Sungura), wametakiwa kuwapeleka hospitali kwa ajili ya upasuaji. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Akizungumza leo...

Habari za Siasa

JPM apongeza bakora za Chalamila

HATUA ya Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuchapa viboko wanafunzi 14 wa Shule ya Sekondari ya Kiwanja na kurudisha nyumbani wanafunzi...

Habari Mchanganyiko

MPFCR: Vijana jiepusheni na mihadarati

TAASISI ya Kinamama na Kinababa kwa Mageuzi ya Jamii (MPFCR), imewataka vijana kuacha matumizi ya mihadarati kutokana na madhara yake. Anaripoti Kamote Martin …...

Habari za Siasa

JPM ‘amchomea utambi’ Mbunge Chadema

RAIS John Magufuli amewambia wananchi wa Kata ya Mahenge wilayani Mbozi, Songwe kwamba angekuwa mbunge wao, asingeruhusu kuwachangishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amewaambia wananchi hao...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema amkabili JPM mkutanoni

PASCHAL Haonga, Mbunge wa Mbozi (Chadema), amemweleza Rais John Magufuli namna matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo zinavyofanya kazi katika kutekeleza shughuli...

Habari za SiasaTangulizi

RC Chalamila atibua nchi, ajitetea

KITENDO cha Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuingilia majukumu ya walimu wa Shule ya Sekondari Kiwanja, Chunya kwa kuchapa viboko vitatu...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

Baada ya viboko; RC Chalamila ‘afunga’ shule

ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amewarudisha nyumbani wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari Kiwanja, hadi tarehe...

Michezo

Simba wang’ara tuzo za mwezi VPL

KOCHA mkuu wa klabu ya Simba Patrick Aussems na mshambuliaji wake, Miraji Athuman wameibuka vinara wa tuzo za mwezi Septemba za Ligi Kuu...

error: Content is protected !!