RAIS John Magufuli ameiomba nchi ya Qatar kushirikiana na serikali yake kwenye utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo, ikiwemo uzalishaji wa nishati ya...
By Regina MkondeMarch 21, 2019MBUNGE wa Iramba (CCM), Mwigulu Nchemba, amemvaa mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, kwa kile alichokiita, “kukosa utu.” Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Masalu ErastoMarch 21, 2019KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Professa. Adolf Mkenda, amesema serikali imeanza mipango na mikakati itakayosaidia wizara hiyo kuongeza ukusanyaji wa...
By Moses MsetiMarch 21, 2019PROF. Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amewekwa njia panda na baadhi ya wabunge wa chama chake hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2019MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inateswa na wafanyabiashara wasio waaminifu na wanaotumia mashine feki za kielektroniki za kukusanyia mapato (EFD). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Charles...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2019