Friday , 26 April 2024

Day: April 26, 2017

Habari za Siasa

Rais Magufuli achimba mkwara kiaina

RAIS John Magufuli, amesema mtu yeyote atakayejitokeza na kujaribu kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zazibar atavunjika yeye, anaandika Dany Tibason. Amesema kuulinda Muungano...

Habari za SiasaTangulizi

CUF: Jaji Mutungi ndiye chanzo cha vurugu

CHAMA cha Wananchi ‘CUF’ kimemshutumu Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuwa  ndiye chanzo cha vurugu zinazoendelea ndani ya chama cha...

Habari za Siasa

TEF nao wamkaba koo Prof. Lipumba, wamtaka aombe radhi

JUKWAA la Wahariri Tanzania ‘TEF’ limemtaka Prof. Ibrahim Lipumba kutoa kauli kuhusu tukio la kupigwa kwa waandishi wa habari katika uvamizi wa mkutano...

Habari Mchanganyiko

Vijana washauriwa kukopa kukuza uchumi

VIJANA waliohitimu elimu ya juu nchini wameshauriwa kuanzisha shughuli za ujasiriamali na kukuza uchumi wao kwa kujitokeza kwenye ofisi za mikopo badala ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ahoji: Who is Makonda?

MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, amemvaa Waziri Mkuu wa Jamhuri, Kassim Majaliwa kuhusiana na kauli yake kuwa “serikali inachunguza vitendo vya utekaji,”...

error: Content is protected !!