Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Weka mkeka wako na mechi za leo ndani ya Meridianbet
Michezo

Weka mkeka wako na mechi za leo ndani ya Meridianbet

Spread the love

 

MERIDIANBET leo hii kutakuwa na mechi mbalimbali ambazo zinaendelea na ambazo tayari zina ODDS KUBWA za kukupatia wewe mkwanja wa maana endapo utachagua machaguo mazuri.

Kombe la FA Uingereza leo hii Raundi ya 4 ni Southampton dhidi ya Watford FC ambapo timu hizi zote zinatokea ligi daraja la kwanza, yani Champioship huku meridianbet wakimpa Soton nafasi kubwa ya kushinda kwa ODDS 1.54 kwa 5.09. Mechi hii itapigwa katika dimba la St Mary’s. Bashiri sasa.

Mechi nyingine ya kukupatia maokoto ni hii ambayo inayowakutanisha Plymouth Argyle dhidi ya Leeds United huku mechi ya kwanza walipokutana walitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Leeds kushinda amepewa ODDS 1.60 kwa 4.60 kwa mwenyeji. Kwenye Championship mwenyeji yupo nafasi ya 15 na mgeni yupo nafasi ya 3. Nani kuibuka kidedea leo?. Beti hapa sasa.

Vilevile, meridianbet wanakusisitiza kucheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Poker, Roullette, Aviator, Rockertman na mingine kibao ya Sloti ambayo inatolewa hapa. Ingia na ucheze sasa.

Huku Coventry City watakiwasha dhidi ya Sheffield Wednesday ambao wamepewa ODDS 5.48 kwa 1.52 kushinda mechi hii. Mechi ya kwanza walitoa sare huku timu zote zikitoka kuchapika kwenye mechi zao za ligi zilizopita. Je leo hii nani atasonga mbele. Jisajili sasa.

Pia Copa del Rey hatua ya nusu fainali leo hii kutakuwa na mchezo mmoja tuu ambao utawakutanisha kati ya Mallorca dhidi ya Real Sociedad ambapo mechi ya mwisho kuonana, Sociedad alishinda. Kwenye Laliga mwenyeji yupo nafasi ya 17 na mgeni wake yupo nafasi ya 6. Je nani kuondoka na ushindi leo?. Mechi hii imepewa ODDS 3.22 kwa 2.55. Ingia meridianbet na ubashiri hapa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!