Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ampongeza mpinzani aliyeshinda urais Senegal
Habari za Siasa

Rais Samia ampongeza mpinzani aliyeshinda urais Senegal

Bassirou Diomaye Faye
Spread the love

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza mwanasiasa wa upinzani, Bassirou Diomaye Faye, kwa kufanikiwa kushinda kiti cha urais wa Senegal, katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Rais Samia ametuma pongezi hizo leo tarehe 27 Machi 2024, kupitia ukurasa wake wa Twitter.

“Nawasilisha pongezi zangu za dhati kwa mheshimiwa Faye, Rais mteule wa Jamhuri ya Senegal kwa ushindi wako katika uchaguzi wa urais wa 2024 na watu kwa uchaguzi wa amani. Una matakwa yangu bora, natarajia kuendelea kufanya kazi pamoja ili kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Senegal,” ameandika.

Faye mwenye umri wa miaka 44, alitangazwa mshindi wa kiti cha urais katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni baada ya kupata asilimia 53.7 ya kura huku mgombea wa chama tawala nchini humo, Amadou Ba (62) akipata asilimia 36.2.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awataka watanzania kudumisha muungano

Spread the loveRais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuendeleza Muungano kwa...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

error: Content is protected !!