Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yaijibu Chadema ‘tangazeni sera’
Habari za SiasaTangulizi

NEC yaijibu Chadema ‘tangazeni sera’

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imesema, zabuni ya kumpata mchapishaji wa karatasi za kupigia kura ilitangaza kwa mujibu wa Sheria ya Manunuzi wa Umma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Dk. Wilson Mahera, Mkurugenzi wa Uchaguzi akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu tarehe 12 Oktoba 2020 amesema, zabuni hiyo ilitangazwa katika tovuti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) na Gazeti la Serikali la Daily News.

Dk. Mahera amesema, baada ya kutangazwa, kampuni tatu ziliruma maombi ambapo moja kutoka Afrika Kusini ya M/S Ren-Form CC iliibuka mshindi.

          Soma zaidi:-

Ufafanuzi huo wa Dk. Mahera unatokana na kauli iliyotolewa hivi karibuni na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kuwa, NEC imefanya mabadiliko ya mchapishaji kinyume na taratibu.

Mnyika alisema, NEC imeiteua kinyemela Kampuni ya Jamama akidai mmoja wa wamiliki wake ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Soma taarifa yote ya Dk. Mahera hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!