Friday , 17 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbunge CCM afariki ghafla, Bunge laahirishwa
Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM afariki ghafla, Bunge laahirishwa

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametangaza msiba wa Mbunge wa Kwahani, Ahmed Yahya Abdulwakil (CCM), aliyefariki dunia ghafla Visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Akitangaza msiba huo leo jioni bungeni jijini Dodoma, amesema Abdulwakil amefariki ghafla kutokana na matatizo ya shinikizo la damu.

Amesema kwa kuwa mwili wa mbunge huyo unatarajiwa kuzikwa kesho Jumanne shughuli za Bunge hazitokuwepo ili kutoa nafasi kwa wabunge kushiriki mazishi hayo lakini pia kwa kuwa Jumatano au Alhamis ni sikukuu ha Eid,hivyo anaahirisha Bunge hadi Jumatatu wiki ijayo.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Serikali yatoa kauli wanaolala nje Hospitali ya Muhimbili

Spread the loveSERIKALI imesema inajipanga kushirikiana na sekta binafsi kujenga majengo yatakayosaidia...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara yaomba bajeti ya Sh. 67.9 bilioni, wamachinga watengewa bilioni 10

Spread the loveBAJETI ya Wizara ya maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Migogoro ya ndoa yaongezeka, Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveMIGOGORO ya ndoa na familia imeongezeka kwa asilimia 8.3  kutoka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali yahamasisha uanzishaji vituo vya kulea watoto wachanga

Spread the loveSERIKALI imewahimiza wananchi kujenga vituo vya kulelea watoto wadogo na...

error: Content is protected !!