Sunday , 19 May 2024
Home Kitengo Michezo Manchester City vichwa chini Ligi Kuu England
Michezo

Manchester City vichwa chini Ligi Kuu England

Spread the love

MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu yaManchester City mambo yanaonekana kuwaendea upandempaka sasa msimu huu, Kwani mpaka wanashika nafasi yanne kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Miaka ya hivi karibuni haijashuhudiwa klabu ya Manchester City ikiwa nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu yaUingereza, Huku ikiwa tayari imepita michezo 15 hii inaoneshawazi kua klabu hiyo haina mwenendo mzuri mpaka sasa.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbetambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashirikwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingiawww.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Mabingwa hao watetezi wa ulaya hawajafanikiwa kushindamchezo wowote wa ligi kuu ya Uingereza katika michezo yaominne ya mwisho waliyoicheza, Huku kipigo kutoka kwa Aston Villa kikitia chumvi kwenye kidonda na ndio kilichowapeleka mpaka nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi hiyo.

Manchester City baada ya kutokufanya vizuri hivi karibuni kunasababu kadhaa zilizochagiza kutokea kwa hali hiyo ni kamamajeraha yakiwaandama wachezaji wake muhimu, uchovu wamsimu uliomalizika, Lakini pia wachezaji waliosajiliwa kamamibadala ya walioondoka kushindwa kuonesha makali mpakasasa.

Manchester City wanapitia kipindi kigumu kwenye michuano yaligi kuu ya Uingereza lakini haitazuia kuacha kujipigiamikwanja, Kwani mabingwa wa michezo ya kubashiriMeridianbet wanaendelea kumwaga ODDS KUBWA katikamichezo mbalimbali barani ulaya.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbetambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingiawww.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Uingereza, Hispania, Italia na Ufaransa kinawaka leo

Spread the loveLIGI mbalimbali barani ulaya kuendelea leo na michezokadhaa mikali itakwenda...

Michezo

Leo mkwanja upo Meridianbet, usipishane nao

Spread the love  Siku ya leo ni nzuri sana kwa wewe mtumiaji...

Michezo

Anza wikendi yako na Meridianbet, upige mkwanja wa maana

Spread the love Siku ya leo ni nzuri sana kwa wewe mtumiaji...

Habari MchanganyikoMichezo

Arafat atoka bima na kurejea kwenye benki

Spread the loveRais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amemteua Arafat Ally Haji kuwa...

error: Content is protected !!