Friday , 17 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Spika wa Marekani ang’olewa kwa madai ya usaliti
Kimataifa

Spika wa Marekani ang’olewa kwa madai ya usaliti

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy, ameondolewa madarakani kwa tuhuma za kukiasi chama chake cha Republican, akituhumiwa kushirikiana na Serikali ya Rais Joe Biden, anayetoka chama cha Demcratic. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

MacCarthy ameng’olewa madarakani jana Jumanne, baada ya kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye, na wabunge wenzake wa Republican, ambao wanaongoza kwa kuwa na idadi kubwa na nguvu bungeni.

Kwa mujibu wa mtandao wa BBC Swahili, kura hiyo ilitokana na hoja ya kutokuwa na imani na MacCARTHY, iliyowasilishwa na mbunge wa Republican, Matt Gaetz, katika mhimili huo Jumatatu iliyopita.

Miongoni mwa sababu za hoja ya Gaetz, ni madai ya McCarthy kufanya makubaliano ya siri na Ikulu ya White House, kuendelea kuifadhili Ukraine, tuhuma ambazo mwanasiasa huyo amezikanusha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Bunge kumuweka katibu mkuu wa EAC kikaangoni

Spread the loveAliyekuwa Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. Peter...

Kimataifa

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Spread the loveBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

error: Content is protected !!