Monday , 13 May 2024
Home Kitengo Maisha Afya RC Babu atoa wiki mbili ujenzi zahanati Siha ukamilike
Afya

RC Babu atoa wiki mbili ujenzi zahanati Siha ukamilike

Spread the love

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Nurdin Babu ametoa wiki mbili kwa kamati ya ujenzi ya Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD), maabara na nyumba ya mtumishi katika zahanati ya Naibili wilayani Siha mkoani humo kuhakikisha unakamilika. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Babu ameyasema hayo leo Ijumaa akiwa kwenye ziara  wilayani  kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo inatekelezwa na Serikali.

Amesema Serikali imeroa zaidi ya Sh 271 milioni lengo wananchi wapate huduma za afya kwa wakati hivyo hayupo tayari kuona ujenzi huo unasuasua na kuagiza kituo hicho kijegwe usiku na mchana.

“Viongozi wote katika nafasi zao kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Siha wajue mradi wowote unaotekelezwa katika sekta yake wahakikishe wanausimamia kwa ukaribu na unamalizika ukiwa na viwango vya hali ya juu,” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

Vituo 13 vyasitishiwa mkataba madai kutaka kupiga bilioni 4 za NHIF

Spread the loveVITUO vya kutoa huduma za afya 13, vimesitishiwa mikataba ya...

AfyaHabari za Siasa

Wizara afya kutumia Sh. 1.31 trilioni, huduma za kibingwa zapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Afya, imeliomba Bunge lipitishe makadirio yake ya mapato...

AfyaHabari za Siasa

Vifo vitokanavyo na UKIMWI vyapungua

Spread the loveVIFO vinavyosababishwa na Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI), vimepungua kutoka...

AfyaHabari MchanganyikoHabari za Siasa

NBC yazindua kadi uanachama msalaba mwekundu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!