Wednesday , 1 May 2024
Home Habari Mchanganyiko WFP wasaini mkataba kuinua wakulima wadogo nchini
Habari Mchanganyiko

WFP wasaini mkataba kuinua wakulima wadogo nchini

Spread the love

 

SHIRIKA la Chakula Duniani (WFP) kwa upande wa Tanzania limesaini makubaliano ya awali na Taasisi ya International Crop Research Institute for the Semi-Arid Tropics (ICRISAT), kwa lengo la kuwezesha wakulima wadogo nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP) Tanzania, Sarah Gordon – Gibson (Kushoto), akisaini makubaliano ya awali na Mwakilishi Mkazi wa International Crop Research Institute for the Semi-Arid Tropics (ICRISAT), Dk. Rebbie Harawa (Kulia), ili kuwezesha wakulima wadogo nchini.

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP) Tanzania, Sarah Gordon – Gibson (Kushoto), akikabidhiana makubaliano ya awali na Mwakilishi Mkazi wa International Crop Research Institute for the Semi-Arid Tropics (ICRISAT), Dk. Rebbie Harawa (Kulia), ili kuwezesha wakulima wadogo nchini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!