Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko TRA yabaini uwepo matumizi namba feki za magari
Habari Mchanganyiko

TRA yabaini uwepo matumizi namba feki za magari

Spread the love

 

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imebaini matumizi ya namba za magari ambazo hazijatolewa na mamlaka hiyo au taasisi nyingine ya Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika kaarifa yake kwa umma iliyotolewa tarehe 5, Oktoba, 2022, TRA imeonya matumizi ya namba hizo ambazo huwekwa nyumba na mbele ya magari.

Aidha Mamlaka hiyo imesema kumekuwepo na matumizi ya vibati vya namba vyenye rangi zisizotambulika kisheria.

“Hivyo wamiliki wa vyombo vya moto na umma kwa ujumla wanatangaziwa kwamba utengenezaji na matumizi ya vibati hivyo ni kosa kisheia kama ilivyoelekezwa kwenye kifungu cha 8 cha Sheria ya Usalama Barabarani,” ilisema taarifa hiyo iliyotolewa na Idara ya Huduma na Elimu wa Mlipakodi.

“Hatua kali za kisheria zitachukliwa kwa yeyote anayekiuka Sheria hii ikiwa ni pamoja na kutaifisha chombop cha moto husika.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Equity Bank yaendelea kusotea mabilioni ya fedha mahakama rufani

Spread the loveBENKI za Equity ya Tanzania na Kenya, zimeendelea kupambana mahakamani...

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

error: Content is protected !!