Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko TRA yabaini uwepo matumizi namba feki za magari
Habari Mchanganyiko

TRA yabaini uwepo matumizi namba feki za magari

Spread the love

 

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imebaini matumizi ya namba za magari ambazo hazijatolewa na mamlaka hiyo au taasisi nyingine ya Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika kaarifa yake kwa umma iliyotolewa tarehe 5, Oktoba, 2022, TRA imeonya matumizi ya namba hizo ambazo huwekwa nyumba na mbele ya magari.

Aidha Mamlaka hiyo imesema kumekuwepo na matumizi ya vibati vya namba vyenye rangi zisizotambulika kisheria.

“Hivyo wamiliki wa vyombo vya moto na umma kwa ujumla wanatangaziwa kwamba utengenezaji na matumizi ya vibati hivyo ni kosa kisheia kama ilivyoelekezwa kwenye kifungu cha 8 cha Sheria ya Usalama Barabarani,” ilisema taarifa hiyo iliyotolewa na Idara ya Huduma na Elimu wa Mlipakodi.

“Hatua kali za kisheria zitachukliwa kwa yeyote anayekiuka Sheria hii ikiwa ni pamoja na kutaifisha chombop cha moto husika.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!