Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Basilla ataka kero za wananchi zotatuliwe
Habari za Siasa

Basilla ataka kero za wananchi zotatuliwe

Spread the love

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Basilla Mwanukuzi amewataka wakuu wa idara katika Wilaya hiyo kutatua kero za wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Basilla Mwanukuzi akizungumza na wananchi wa kata ya Rwengela.

Mwanukuzi ametoa maagizi hayo leo tarehe 17 Agosti, 2022 katika ziara ya mta kwa mta katika kata ya Rwengela.

Mkuu amesema wakuu wa idara wanapaswa kusikiliza wananchi ili kuzimaliza kwa wakati.

“Lengo la ziara hii ya mta kwa mta ni kusikiliza kero zenu naomba mziseme bila woga, na wakuu wa idara naomba mzifanyie kazi,” amesema.

Aidha, Mwanukuzi amewataka wakuu wa idara na viongozi wote kutoa elimu kuhusu umuhimu wa sensa, ili kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!