Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Naibu Skipa aonya wabunge nidhamu uchangiaji bajeti kuu
Habari za SiasaTangulizi

Naibu Skipa aonya wabunge nidhamu uchangiaji bajeti kuu

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azan Zungu
Spread the love

 

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azan Zungu, ameonya wabunge wanaokiuka kanuni za utoaji taarifa bungeni na kwamba kufanya hivyo itakuwa ni kosa la utovu mkubwa wa nidhamu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Zungu ameyasema hayo leo tarehe 13 Juni 2022, bungeni jijini Dodoma mara baada ya kumalizika kipindi cha maswali na majibu.

Amesema kuelekea mjadala wa bajeti kuu Mbunge yeyote atakeshindwa kufuata kanunia ya kutoa taarifa atakuwa amefanya, “kosa la utovu mkubwa wa nidhamu ikiwa itapuuza maamuzi ya Spika au Mwenyekiti wa Bunge” kwa mujibu wa kanuni ya 84 (1) (a).

“Kuanzia mjadala wa bajeti kuu kakutakuwapo tena na taarifa za mchezo humu ndani na mmeona hivi karibuni wabunge wanalalamika mnaingilia flow zao za uchangiaji. Kwahiyo nawaomba mfuate mwongozo wa kiti kwani taarifa zimekuwa nyingi hazina maana bali za kupoteza muda na kumtoa mbunge kwenye reli,” amesema Zungu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

Spread the loveNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za Siasa

Askofu Shoo awataka ACT kupigania maslahi ya Taifa, wasikubali kuhongwa

Spread the loveALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Askofu...

Habari za Siasa

Biteko aagiza waajiri kudhibiti vifo mahali pa kazi

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

error: Content is protected !!