Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge Waitara, Mulugo wakwama, Spika Tulia atoa siku 90
Habari za SiasaTangulizi

Wabunge Waitara, Mulugo wakwama, Spika Tulia atoa siku 90

Dk. Tulia Ackson, Spika wa Bunge la Tanzania
Spread the love

 

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametoa siku 90 kwa Serikali kuchunguza malalamiko yaliyotolewa na wabunge dhidi ya mauaji, majeruhi na uharibifu wa mali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Wabunge hao ni Mwita Waitara (Tarime Vijijini) na Philipo Mulugo (Songwe) wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotoa kwa malalamiko hayo tarehe 3 Juni 2022 bungeni wakati wakichangia Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2022/23.

Nini kilitokea hadi Spika Tulia kutoa maagizo kwa wabunge hao na majibu waliyowasilisha hadi kumfanya kuiagiza Serikali kuyafanyia kazi ndani ya miezi mitatu.

Sikiliza video hii;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!