SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametoa siku 90 kwa Serikali kuchunguza malalamiko yaliyotolewa na wabunge dhidi ya mauaji, majeruhi na uharibifu wa mali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Wabunge hao ni Mwita Waitara (Tarime Vijijini) na Philipo Mulugo (Songwe) wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotoa kwa malalamiko hayo tarehe 3 Juni 2022 bungeni wakati wakichangia Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2022/23.
Nini kilitokea hadi Spika Tulia kutoa maagizo kwa wabunge hao na majibu waliyowasilisha hadi kumfanya kuiagiza Serikali kuyafanyia kazi ndani ya miezi mitatu.
Sikiliza video hii;
Leave a comment