Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge Waitara, Mulugo wakwama, Spika Tulia atoa siku 90
Habari za SiasaTangulizi

Wabunge Waitara, Mulugo wakwama, Spika Tulia atoa siku 90

Dk. Tulia Ackson, Spika wa Bunge la Tanzania
Spread the love

 

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametoa siku 90 kwa Serikali kuchunguza malalamiko yaliyotolewa na wabunge dhidi ya mauaji, majeruhi na uharibifu wa mali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Wabunge hao ni Mwita Waitara (Tarime Vijijini) na Philipo Mulugo (Songwe) wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotoa kwa malalamiko hayo tarehe 3 Juni 2022 bungeni wakati wakichangia Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2022/23.

Nini kilitokea hadi Spika Tulia kutoa maagizo kwa wabunge hao na majibu waliyowasilisha hadi kumfanya kuiagiza Serikali kuyafanyia kazi ndani ya miezi mitatu.

Sikiliza video hii;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!