Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Tabasamu aibua mazito Bungeni tenda za mafuta, Spika amzuia
Habari za Siasa

Tabasamu aibua mazito Bungeni tenda za mafuta, Spika amzuia

Mbunge wa Sengerema, Hamis Tabasamu
Spread the love

MBUNGE wa Sengerema, Hamis Tabasamu ameibua “mambo mazito” bungeni kuhusu kuchezewa kwa tenda ya uagizaji wa mafuta ya Tarehe 18 Aprili 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Tabasamu ameibua hoja hiyo leo Alhamisi tarehe 28 Aprili, 2022 mara baada ya kipindi cha maswali na majibu ambapo aliomba kutoa hoja ya kuahirisha bunge na kujadadili suala hilo la dhararu.

Hata hivyo kabla ya kumaliza kueleza jambo hilo Spika Dk. Tulia Akson alimkatisha na kuhoji kama ameasilisha jambo hilo katika meza ya spika kutokana na uzito wa hoja yake.

Spika Tulia amesema hoja ya Tabasamu ni nzito na endapo ataacha ijadiliwe itaibua mambo mengi zaidi yatakayohitaji Ushahidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!