Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Samia ataka askari waliopandishwa vyeo kurudi kusimamia wafungwa
Habari za Siasa

Samia ataka askari waliopandishwa vyeo kurudi kusimamia wafungwa

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hatotoa ajira mpya kwa askari wa jeshi la Magereza na kuagiza waliopandishwa vyeo kurudi kusimamia wafungwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Rais Samia ameyasema hay oleo Ijumaa tarehe 25 Machi 2022 wakati akizundua miradi mbalimbali ya jeshi la Magereza Dodoma.

Amesema kama upandishaji vyeo umesababisha upungufu wa askri wa chini basi inawezekana waliopandishwa wengi hawana kazi za kufanya ofisini, “inawezekana wanazunguka tu kwenye korido za ofisi warudi wakasimamie wafungwa”

“Kusimamia wafungwa kunataka wazoefu. Wale niliowapandisha vyeo ni wazoefu zaidi na warudi wakasimamie wafungwa. Kwa sasa sitatoa ajira. Haina maana kama mtu anapanda cheo anakwenda kukaa ofisini hawana kazi, arudi afanye kazi cheo chako utabaki nacho,” amesema Rais Samia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!