MWENYEKITI wa chama cha upinzani Tanzania- NCCR-Mageuzi, James Mbatia anazungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo kujiuzulu kwa Job Ndugai kuwa Spika wa Bunge la nchi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Ndugai alitangaza kujiuzulu jana Alhamisi, tarehe 6 Januari 2022.
Fuatilia matangazo haya moja kwa moja kutoka makao makuu ya NCCR-Mageuzi, Ilala jijini Dar es Salaam.
https://youtu.be/c3y_od59T8c
Hatuna muda ya kumsikiliza kiongozi ambaye hana uwezo wa kuongoza isipokuwa anao uwezo wa kujiongza