MWENYEKITI wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan anashiriki kilele cha matembezi ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pemba … (endelea).
Matembezi hayo yanafanyika leo Ijumaa, tarehe 7 Januari 2022, Wilaya ya Mkoani, Kusini Pemba
Fuatilia moja kwa moja kinachoendelea
https://www.youtube.com/watch?v=BAz0RkPTMlE
Leave a comment