Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Denis Nkane atua Yanga
Michezo

Denis Nkane atua Yanga

Spread the love

 

HATIMAYE mabingwa wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, imemtambulisha Danis Nkane. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Nkane anayecheza nafasi ya kiungo mahambuliaji, ametambulishwa leo usiku Jumamosi, tarehe 1 Januari 2022, kupitia kuraza za kijamii za Yanga.

Nkame amejiunga na miamba hao wa soka la Tanzania akitokea Biashara United ya mkoani Mara, alikoonesha uwezo mkubwa wa kusakata kandanda.

Ni kijana wa Kitanzania mwenye kipaji cha pekee anayeweza kukimbia na mpira kwa ufundi wa hali ya juu.

Mchezaji wa zamani wa Yanga, Mrisho Ngassa amenukuliwa akimzungumzia kuwa staa wa baadaye huku akiuomba uongozi wa timu hiyo kumpa jezi namba 16 aliyokuwa akiivaa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!