Saturday , 4 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kesi ya Makonda yatinga kwa Jaji Mfawidhi
Habari za Siasa

Kesi ya Makonda yatinga kwa Jaji Mfawidhi

Paul Makonda
Spread the love

 

MALALAMIKO dhidi ya Hakimu Mkazi wa Mahakama za Kinondoni na Kisutu, kugoma kufungua shauri la jinai dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, yametinga rasmi kwa Jaji Mfawidhi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa na wakili wa mwasilisha maombi, Hekima Mwasipu, barua ya malalamiko iliyoandikwa na mwandishi wa habari, Saed Kubenea, kwenda kwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, tayari ilipokewa juzi Jumatano.

Kubenea alifikia uamuzi huo, baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, kugoma kuirejesha kesi hiyo ambayo tayari ilikuwa imefunguliwa mahakamani na kusajiliwa kama – Miscellaneous Criminal Application No. 7/2021.

Undani wa habari hii, soma Gazeti la Raia Mwema la leo Ijumaa 31 Desemba 2021, kujua kwa undani kilichotokea

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!