Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Timu 10 kukiwasha Mapinduzi, Simba na Yanga…
Michezo

Timu 10 kukiwasha Mapinduzi, Simba na Yanga…

Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini
Spread the love

 

MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2021 visiwani Zanzibar, itaanza tarehe 2 hadi 13 Januari huku timu kumi zikithibitisha kushiriki ikiwemo bingwa mtetezi Yanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Michuano hiyo hufanyika kila mwaka kusherekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika tarehe 12 Januari 1964. Mwaka huu inatimia miaka 58 ya Mapinduzi.

Katika michuano hiyo, timu nne ni za Tanzania Bara ambazo ni Simba, Yanga, Namungo na Azam FC pamoja na sita za Zanzibar.

Kikosi cha Simba kikifanya mazoezi

Timu hizo zimegawanywa kwenye makundi matatu ya timu tatu tatu na kundi moja likiwa na timu nne.

Kundi A lina timu za Azam FC, Namungo FC, Yosso Boys na Meli City.

Kundi B kuna bingwa mtetezi Yanga, Taifa Jang’ombe na KMKM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!