Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Simba yatolewa kimataifa kwa aibu, kuhamia Kombe la Shirikisho
MichezoTangulizi

Simba yatolewa kimataifa kwa aibu, kuhamia Kombe la Shirikisho

Spread the love

 

SIMBA ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imetolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa kipigo cha 3-1, katika Uwanja wake wa nyumbani, Benjamin Mkapa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Simba imepokea kipigo hicho kutoka kwa Jwaneng Galaxy ya Botswana leo Jumapili, tarehe 24 Oktoba 2021.

Katika mchezo wa awali uliochezwa wiki moja iliyopita nchini Botswana, Simba iliibuka na ushindi wa 2-0. Kwa kipigo cha 3-1 ilichopokea leo, Simba inakuwa imetoka kwa magoli ya ugenini.

Safari ya mwisho kwenye michuano hiyo ya Simba, imehitimishwa na 85.

Bada ya kutolewa, Simba inakwenda kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho kwa kucheza mchozo mmoja na iwapo itavuta hatua hiyo, itaingia makundi ya michuano hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!