Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia auaga mwili wa Mzindakaya, kuzikwa kesho
Habari Mchanganyiko

Rais Samia auaga mwili wa Mzindakaya, kuzikwa kesho

Rais Samia Suluhu Hassan akiaga mwili wa mwanasiasa mkongwe, Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Ibada ya kumwombea mwanasiasa mkongwe nchini humo, Chrisant Majiyatanga Mzindakaya (80), aliyefariki dunia, Jumatatu ya tarehe 6 Juni 2021, Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mwili wa Mzindakaya, umeagzwa leo Jumatano, tarehe 7 Juni 2021, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay, Dar es Salaam.

Mwili wa Mzindakaya, aliyezaliwa tarehe 31 Desemba 1940, utazikwa kesho Alhamisi, Sumbawanga mkoani Rukwa.

Mara baada ya shughuli ya kumwombea na kumuaga kumalizika, unasafirishwa kwa ndege mpaka Songwe na kutoka Songwe mwili utapelekwa kwa barabara hadi Sumbawanga.

Enzi za uhai wake, Mzee Mzindakaya amepata kuwa mbunge kwa kipindi cha zaidi ya miaka 40 pamoja na kuhudumu serikalikalini katika nafasi mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Polisi wakanusha kufanya uzembe ajali iliyouwa mwandishi Ayo Tv

Spread the loveJESHI la Polisi limekanusha tuhuma zilizoibuliwa dhidi yake  kwamba limekawia...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuzindua gazeti litakalotoa habari za wafanyakazi Tanzania

Spread the loveSHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), liko mbioni kufufua...

Habari Mchanganyiko

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesho ya OSHA Arusha

Spread the loveKATIKA kuelimisha wananchi na washiriki wa maonesho ya usalama na...

error: Content is protected !!