Saturday , 4 May 2024
Home Kitengo Michezo Julio alia na wachezaji Stars, ataka wajiongeze
Michezo

Julio alia na wachezaji Stars, ataka wajiongeze

Jamhuri Kihwelu 'Julio'
Spread the love

 

KOCHA wa timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20 (NgorongoroHeroes), Jamhuri Julio amelia na namna ya wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kuwa walishindwa kujiongeza mpaka kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) baada ya kutoka sare ya mabao  2-2 na Guinea. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taifa stars iliondolewa kwenye michuano hiyo inayoendelea nchini Cameroon baada ya kumaliza kwenye nafasi ya tatu kundi D, wakiwa na pointi nne.

Akiongea mbele ya waandishi wa habari leo tarehe 1 Februari 2021, kocha huyo alisema kuwa wakati Stars inaongoza 2-1 dhidi ya Guinea wachezaji walipaswa kujiongeza na siyo kila kitu kumuachia kocha ili waweze kuibuka na ushindi.

“Tunaweza kuwaona makocha wabovu au hawafai, mwalimu anafundisha mbinu na ufundi kuna muda wachezaji wanatakiwa wabuni wenyewe kwa kujiongeza ili waweze kushinda lakini siyo kila kitu mwalimu apige kelele,” alisema Julio.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

error: Content is protected !!