Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia

Marehemu Rosemary Nyerere enzi za uhai wake
Spread the love

ROSEMARY Julius Nyerere, mtoto wa saba wa Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa Kwanza Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Taarifa kutoka kwa wanafamilia hiyo imeeleza, Rosemary alifariki dunia jana jioni tarehe 1 Januari 2021, jijini Dar es Salaam.

“Taarifa za msiba huo ni kweli lakini kuna mwanafamilia mmoja atakuja na taarifa rasmi ya familia, mimi nathibitisha tu kwamba Rosemary amefariki jana,” amesema mmoja wa wanafamilia hao.

1 Comment

  • Msalimie mwal nyerere,nkwame nkurumah,malcomx,muamar gadafi,robert gabriel mugabe,dr martin luther king jr,che guevara

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu wa GGML

Spread the loveSHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yashiriki maadhimisho Mei Mosi Arusha

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na maelfu ya...

Habari Mchanganyiko

Makonda autaka mgodi kubadilisha maisha ya wana-Geita

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Je, miji ya Uingereza inafilisika?

Spread the loveMNAMO 1890, mwandishi mmoja wa habari Mmarekani aitwaye Julian Ralph...

error: Content is protected !!