Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Masharti yatolewa kuuaga mwaka 2020, mwisho saa 6:30 usiku
Habari za SiasaTangulizi

Masharti yatolewa kuuaga mwaka 2020, mwisho saa 6:30 usiku

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene
Spread the love

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amepiga marufuku, makongamano ya dini au mikutano ya mikesha inayofanyikia viwanja vya wazi usiku wa kuamkia mwaka mpya ambayo ni leo alhamisi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Makongamano na mikutano hiyo huwa inafanyika kila tarehe 31 Desemba kuuaga  na kuukaribisha mwaka mpya na mwaka huu yalikuwa yafanyike viwanja mbalimbali ikiwemo Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, jana Jumatano tarehe 30 Desemba 2020, Waziri Simbachawene alizuia mikutano na makongamano hayo nchi nzima ambayo yangefanyika leo na kuagiza yafanyikie kanisani na mwisho iwe saa 6:30 usiku huku akionya watakaokaidi agizo hilo, watachukuliwa hatua.

Taarifa yote ya Waziri Simbachawene hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Serikali kufumua mitaala ya vyuo vikuu, ufundi stadi

Spread the loveSERIKALI inakusudia kufanya mapitio katika mitaala na programu za vyuo...

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

error: Content is protected !!