Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge 19 Chadema  waapishwa Dodoma
Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 19 Chadema  waapishwa Dodoma

Halima Mdee, Mbunge wa Chadema Viti Maalim
Spread the love

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai  amewapisha wabunge 19 wa viti maalum          kupitia  Chama cha Demokraisa (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Spika Ndugai amewaapisha leo Jumanne tarehe 24  Novemba 2020  viwanja vya Bunge jijini Dodoma

Walioapishwa ni;  Halima  Mdee, Grace  Tendeka, Esther  Matiko, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnesta  Lambat, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Hawa Mwaifunga na Tunza Malapo.

Wengine ni; Asia Mwadini Mohamed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala,  Stella Siyao, Salome Makamba, Anatropia  Theonest na Conchesta Lwamlaza.

Kati ya wabunge hao 19 walioapishwa, wanaoingia kwa mara ya kwanza ni  wanne; Agnesta, Asia, Stella na Felister.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari za Siasa

Wizara ya Kilimo yapanga kutumia Sh. 1.2 trilioni 2024/25

Spread the loveWIZARA ya Kilimo, imepanga kutumia bajeti ya Sh. 1.2 trilioni...

error: Content is protected !!