Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge 19 Chadema  waapishwa Dodoma
Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 19 Chadema  waapishwa Dodoma

Halima Mdee, Mbunge wa Chadema Viti Maalim
Spread the love

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai  amewapisha wabunge 19 wa viti maalum          kupitia  Chama cha Demokraisa (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Spika Ndugai amewaapisha leo Jumanne tarehe 24  Novemba 2020  viwanja vya Bunge jijini Dodoma

Walioapishwa ni;  Halima  Mdee, Grace  Tendeka, Esther  Matiko, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnesta  Lambat, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Hawa Mwaifunga na Tunza Malapo.

Wengine ni; Asia Mwadini Mohamed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala,  Stella Siyao, Salome Makamba, Anatropia  Theonest na Conchesta Lwamlaza.

Kati ya wabunge hao 19 walioapishwa, wanaoingia kwa mara ya kwanza ni  wanne; Agnesta, Asia, Stella na Felister.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!