Tuesday , 30 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Shule kumi bora, 10 za mwisho darasa la 7
Habari Mchanganyiko

Shule kumi bora, 10 za mwisho darasa la 7

Spread the love

BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta), limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi uliofanyika tarehe 7 na 8 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde leo Jumamosi tarehe 21 Novemba 2020, yanaonyesha kati ya shule kumi bora zenye watahiniwa zaidi ya 40, Dod’s Bridge ya jijini Mbeya inaongoza kundi hilo huku Mkoa wa Kagera ikiingiza shule mbili.

Dk. Msonde, amebainisha shule kumi ambazo kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo, zimeongeza ufaulu ambapo Mwandu Kisesa ya Mkoa wa Simiyu imeongoza kundi hilo.

Katibu mtendaji huyo, amezitaka shule kumi ambazo kwa miaka mitatu mfululizo, zimeshuka ufaulu kwa kiasi kikubwa ikiongozwa na Chororo naya mwisho ikiwa Ng’ongolo zote za Mtwara.

Huu hapa mpangilio wa shule hizo

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa

Spread the love  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Spread the loveWatoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa...

Habari Mchanganyiko

Bil 12.4 zimetumika ujenzi wa miradi wilaya ya Momba

Spread the love MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe Kennan Kihongosi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Songwe katika mikakati ya elimu ya lishe kudhibiti udumavu

Spread the love  SERIKALI mkoani Songwe imejipanga kuendelea kutoa elimu ya lishe...

error: Content is protected !!