Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Bwege aangushwa ubunge Kilwa Kusini
Habari za Siasa

Bwege aangushwa ubunge Kilwa Kusini

Suleiman Bungara 'Bwege', aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF)
Spread the love

SELEIMAN Said Bungara maarufu Bwege, amengushwa ubunge wa Kilwa Kusini kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarege 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Wetu…(endelea)

Bwege ambaye  amekuwa maarufu ndani na nje ya Bunge kutokana na aina yake ya kuzungumza au kuchangia mijadala bungeni, ameangushwa na mgombea wa CCM, Kassinge Ally.

Hivi karibuni Bwege akitumia msemo wa ‘ulisikia wapi’ aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010 kupitia Chama Cha Wananchi (CUF).

Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 201 5, wananchi wa Kilwa Kusini waliendelea kumwamini Bwege aliyezaliwa Novemba 18 mwaka 1961 kwa kumrejesha bungeni kuendelea kuwawakilisha.

Bwege alikihama chama chake cha CUF na kujiunga na ACT-Wazalendo na kupitishwa kuwania ubunge jimboni himo lakini amejikuta akishindwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!