Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto apoteza ubunge Kigoma Mjini
Habari za Siasa

Zitto apoteza ubunge Kigoma Mjini

Zitto Kabwe
Spread the love

ZITTO Zuberi Kabwe wa ACT-Wazalendo, ametangazwa kushindwa Ubunge Kigoma Mjini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kigoma … (endelea).

Msimamizi wa uchaguzi, amemtangaza Kirumbe Ng’enda wa CCM kuwa mshindi kwa kupata kura 27,638 huku Zitto akipata kura 20,600.

Zitto aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2005 kupitia Chadema katika Jimbo la Kigoma Kaskazini aliloliongoza kwa miaka kumi mfululizo na mwaka 2015 aligombea Kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo na kuibuka mshindi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!