Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo TFF yadai wasifu wa makocha
Michezo

TFF yadai wasifu wa makocha

Zlatko Krmpotic alipokuwa Polokwane City
Spread the love

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imezitaka klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara kuwasilisha wasifu na vyeti vya makocha wao waliowaajili kuvinoa vikosi vyao. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka ndani ya shirikisho hilo imeeleza kuwa wasifu na vyeti vya vinavyohitajika ni vya kocha mkuu, kocha msaidizi, kocha wa viungo na kocha wa makipa.

Ikumbukwe taarifa hiyo inakuja huku baadhi ya timu zikiwa zimefanya usajili wa wachezaji na makocha kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi 2020/21 ulioanza 6 septemba, 2020.

Aidha shirikisho hilo limesema kuwa nakala hizo zinahitajika kuwasilishwa kwa ofisi ya mkurugenzi wa ufundi ndani ya Tff, huku mwisho wa zoezi hilo ikiwa 15 Septemba, 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!