Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa 169 udiwani CCM wapeta Kilimanjaro
Habari za Siasa

169 udiwani CCM wapeta Kilimanjaro

Spread the love

WAGOMBEA udiwani 169 kati ya 1145 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioomba kuteuliwa kugombea udiwani kupitia chama hicho mkoani Kilimanjaro, wamepitishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Moshi … (endelea).

Majina ya madiwani hao yametangaza rasmi jana tarehe 17 Agosti 2020 na Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Jonathan Mabihya wakati akizungumza na vyombo vya habari mkoani humo baada ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa.

”Wagombea hawa 169 ndio waliopendekezwa na kuteuliwa na kikao cha Halmashauri Kuu kwa ajili ya kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,” amesema na kuongeza:

”Ni dhahiri kuwa, mchakato wetu wa kikatiba na kikanuni uliendelea baada ya kura za maoni kupigwa. Vikao vya uchujaji  na utoaji mapendekezo viliendelea ambapo kamati zote za siasa kuanzia kata hadi mkoa zilikaa na kutoa maoni na mapendekezo yake.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

error: Content is protected !!