Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko A-Z uamuzi wa TCRA kwa vyombo vya habari
Habari MchanganyikoTangulizi

A-Z uamuzi wa TCRA kwa vyombo vya habari

Joseph Mapunda, Makamu Mwenyekiti Kamati ya Maudhui TCRA
Spread the love

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya ukiukaji wa kanini za utangazaji wa redio na televisheni na maudhui ya mitandaoni. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar es Salaam … (endelea)

Watoa huduma hao ni Carry Mastory Media Ltd, Triple A FM, CG FM, Wasafi Media Online TV, Clouds FM, Radio One, Radio Free Africa, Kiss FM na Abood FM.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joseph Mapunda ametoa uamuzi huo leo Ijumaa tarehe 14 Agosti 2020 katika Ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam.

Soma taarifa yote ya kamati;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!