Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Meneja wa Diamond ambwaga naibu waziri
Habari za Siasa

Meneja wa Diamond ambwaga naibu waziri

Spread the love

HAMISI Taletale maarufu Babu Tale ameshinda kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Morogoro Kusini Mashariki kwa kupata kura 318 dhidi ya mbunge anayemaliza muda wake ambaye ni Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba aliyepata kura 242. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea).

Babu Tale ni Maneja wa Msanii wa mziki nchini Tanzania, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinum.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

error: Content is protected !!