Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kafulila na Katambi ‘out’, Ma DC, DAS wateuliwa
Habari za Siasa

Kafulila na Katambi ‘out’, Ma DC, DAS wateuliwa

David Kafulila, Aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameendelea kufanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo Katibu Tawala Mkoa wa Songwe (RAS), Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakurungezi wa Halmashauri (DED).

Pia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejenti ya Utumishi wa Umma, George Mkuchika ameteua makatibu tawala wa wilaya (DAS).

          Soma zaidi..

Baadhi ya wateule wake anaowaweka kando ni kuwapa ruksa ya kwenda kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.

Soma hapa chini taarifa kamili ya uteuzi iliyotolewa na jana Ijumaa tarehe 17 Julai 2020 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!