Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mwandishi Azam TV ajitosa ubunge Kigoma Mjini
Habari za Siasa

Mwandishi Azam TV ajitosa ubunge Kigoma Mjini

Spread the love

MWANDISHI wa habari wa AZAM TV, Baruan Muhuza amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe kuwania ubunge Kigoma Mjini katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Barua amechukua fomu leo Jumatano tarehe 15 Julai 2020 Ofisi za CCM Wilaya ya Kigoma.

Jimbo hilo lilikuwa likiongozwa na Zitto Kabwe wa ACT-Wazalendo ambaye mpaka sasa hajaweka wazi kama atagombea tena kwenye uchaguzi mkuu huo.

Mara baada ya kuchukua fomu, Baruani amekishukuru chama hicho kwa kutoa fursa kwa kila mwanachama mwenye sifa kuwania ubunge.

“Nakishukuru chama changu na hii ni ndoto yangu ya kwenda kuwatumikia wananchi wa Kigoma mjini,” amesema Baruan

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!