Tuesday , 5 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Waziri Mkuu Tanzania achukua, arejesha fomu Ruangwa
Habari za Siasa

Waziri Mkuu Tanzania achukua, arejesha fomu Ruangwa

Spread the love

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Jumatano tarehe 15 Julai 2020 amechukua fomu ya kuwania tena ubunge wa jimbo la Ruangwa, wilayani humo, mkoani Lindi. Anaripoti Mwandishi wetu endele

Waziri Mkuu ambaye alizijaza fomu hizo akiwa ofisini hapo na kuzirudisha kwa Katibu wa CCM wa Wilaya ya Ruangwa, Barnabas Essau, pia alilipa fedha taslimu Sh. 100,000 zikiwa ni ada ya kuchukua fomu hizo.

Taarifa iliyotumwa kwa umma na ofisi ya waziri mkuu imesema, Majaliwa aliambatana na mkewe Mama Mary Majaliwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo maporomoko yaliyoua 65 Hanang, chatajwa

Spread the loveSERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa...

Habari za Siasa

Baba yake Ole Sabaya ashinda Uenyekiti CCM – Arusha

Spread the loveLoy Thomas Sabaya ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa...

Habari za Siasa

Serikali yaagiza uchunguzi chanzo maporomoko Hanang

Spread the loveSERIKALI imeagiza uchunguzi ufanyike ili kubaini chanzo cha maporomoko ya...

error: Content is protected !!