Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mwandishi Azam TV ajitosa ubunge Kigoma Mjini
Habari za Siasa

Mwandishi Azam TV ajitosa ubunge Kigoma Mjini

Spread the love

MWANDISHI wa habari wa AZAM TV, Baruan Muhuza amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe kuwania ubunge Kigoma Mjini katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Barua amechukua fomu leo Jumatano tarehe 15 Julai 2020 Ofisi za CCM Wilaya ya Kigoma.

Jimbo hilo lilikuwa likiongozwa na Zitto Kabwe wa ACT-Wazalendo ambaye mpaka sasa hajaweka wazi kama atagombea tena kwenye uchaguzi mkuu huo.

Mara baada ya kuchukua fomu, Baruani amekishukuru chama hicho kwa kutoa fursa kwa kila mwanachama mwenye sifa kuwania ubunge.

“Nakishukuru chama changu na hii ni ndoto yangu ya kwenda kuwatumikia wananchi wa Kigoma mjini,” amesema Baruan

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!