Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Takukuru yawashikilia Wafanyakazi 30 MSD
Habari Mchanganyiko

Takukuru yawashikilia Wafanyakazi 30 MSD

Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza, Emmanuel Stenga
Spread the love

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inawashikilia wafanyakazi 30 wa Bohari ya Dawa (MSD) Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za ubadhirifu wa dawa na vifaa tiba zenye thamani ya zaidi ya Sh. 254 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea).

Mbali na wafanyakazi hao, pia kuna mtumishi mmoja wa wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto.

Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza, Emmanuel Stenga akitoa taarifa ya kushikiliwa kwa watumishi hao leo Jumanne tarehe 23 Juni 2020 amesema, uchunguzi unaendelea na watakaobainika wafanyikishwa mahakamani.

“Natoa wito kwa wafanyakazi wa umma kuridhika na vipato vyao,” amesema Stenga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!